Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Kituo cha Uhusiano wa kimataifa cha Dkt. Salim Ahmed Salim
Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara

Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara

Ufaulu wa alama kuanzia 4 pasipo masomo ya dini

Katika Mashirika ya Kimataifa,Wizara za Serikali,Mashirika yasio ya Kiserikali na Sekta binafsi

Fungua browser yako yoyote

Andika https://saris.cfr.ac.tz

Ndio, CFR inapokea maombi na wanafunzi kutoka nje ya Tanzania; hata hivyo, kituo hakitoi huduma ya malazi kwa wanafunzi hao.