Ufaulu wa alama kuanzia 4 pasipo masomo ya dini
Katika Mashirika ya Kimataifa,Wizara za Serikali,Mashirika yasio ya Kiserikali na Sekta binafsi
Fungua browser yako yoyote
Andika https://saris.cfr.ac.tz
Ndio, CFR inapokea maombi na wanafunzi kutoka nje ya Tanzania; hata hivyo, kituo hakitoi huduma ya malazi kwa wanafunzi hao.