emblem

Kituo cha Uhusiano wa Kimataifa cha Dkt. Salim Ahmed Salim

Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara

Maombi yote yanayohusiana na kujiunga na Chuo yanatakiwa yawasilishwe mara baada ya tangazo la kujiunga na Chuo linapokuwa limetolewa kwa umma. Mara nyingi chuo kinakaribisha maombi kuanzia katikati ya mwezi Julai.


Aidha mwombaji atatakiwa kuwasilisha maombi yake kwa njia ya kujaza taarifa zake kwenye mfumo wa udahili. Maombi yatakayowasilishwa kwa njia ya barua ya kawaida hayatakubaliwa. 

NI TATIZO LA MIUNDOMBINU LAKINI TAYARI ISHAKUWA SOLVED.