emblem

Kituo cha Uhusiano wa Kimataifa cha Dkt. Salim Ahmed Salim

Ziara

NENO KWA WAFANYAKAZI

  1. Shukrani
    1. Namshukuru sana mwenyezi Mungu kwa uhai, kunipenda na kunipendelea kwa mambo mengi sana.
    2. Naishukuru sana mamlaka iliyoniamini na kuniteua kukaimu nafasi ya ukurugenzi tarehe 28 Januari 2019.
    3. Shukrani kwa Wizara mama, Waziri, Katibu Mkuu, wakurugenzi, na wafanyakazi wote waliosapoti na kufanikisha utendaji wa majukumu ya chuo
    4. Shukrani kwa Baraza la Chuo lililomaliza muda wake chini ya uenyekiti wa Mhe. Balozi Sefue
    5. Shukrani kwa manaibu wakurugenzi wa Chuo cha Diplomasia