Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki H.E. Ambassador Mbarouk Nassor Mbarouk, Kaimu MKurugenzi wa Chuo cha Diplomasia Mh. Bal. Abdulrahman Kaniki, baadhi ya wafanyakazi wa Chuo pamoja na Wanafunzi wa Chuo cha Diplomasia wakiwa kwenye picha ya pamoja nje ya Ukumbi wa Bunge Jijini Dodoma.