Kituo cha Uhusiano wa Kimataifa cha Dkt. Salim Ahmed Salim
Wigo
TAFITI NA USHAURI ELEKEZI
Kituo kimeendelea kutoa mafunzo, kufanya tafiti na kutoa ushauri elekezi katika masuala ya Diplomasia, Uhusiano wa Kimataifa, Stratejia, Usuluhishi wa Migogoro na Ujenzi wa Amani.