Habari
Ziara ya wanafunzi wa kozi ya Ukamanda na Unadhimu kutoka Chuo cha ulinzi wa Taifa kutoka Bangladesh wametembelea Kituo cha Uhusiano wa kimataifa cha Dkt.Salim Ahmed Salim.
![](https://www.cfr.ac.tz/uploads/news/995063b54fba4661a6913bbb151eebf3.jpeg)
Ziara ya Wanafunzi wa Kozi ya Ukamanda na Unadhimu kutoka Chuo cha Ulinzi wa Taifa- Bangladesh kutembelea Kituo cha Uhusiano wa Kimataifa cha Dkt. Salim Ahmed Salim, Dar es Salaam imefanyika leo tarehe 6 Mei 2024 ambapo Mhadhara kuhusu "The Foreign Policy and Outlook and Bilateral Relations with Bangladesh" umetolewa.