Kituo cha Uhusiano wa Kimataifa cha Dkt. Salim Ahmed Salim (CFR) kinakukaribisha kujiunga na kujisajili katika kozi ya Uongozi na Majadiliano "Leadership and Negotiation Skills" yatakayofanyika kuanzia tarehe 28 Septemba hadi tarehe 2 Oktoba 2026. mahali ni CFR, Kurasini- Dar es Salaam.