Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Kituo cha Uhusiano wa kimataifa cha Dkt. Salim Ahmed Salim
KITUO CHA UHUSIANO WA KIMATAIFA CHASHIRIKI KATIKA...

KITUO CHA UHUSIANO WA KIMATAIFA CHASHIRIKI KATIKA WIKI YA KITAIFA YA ELIMU,UJUZI NA UBUNIFU

18 Aug, 2026
KITUO CHA UHUSIANO WA KIMATAIFA CHASHIRIKI KATIKA WIKI YA KITAIFA YA ELIMU,UJUZI NA UBUNIFU

Watumishi wa Kituo cha Uhusiano wa Kimataifa cha Dkt. Salim Ahmed Salim (CFR) wameendelea kutoa elimu kwa wadau mbalimbali waliotembelea banda la Kituo, miongoni mwa masuala yaliyotolewa ufafanuzi ni pamoja na fursa mbalimbali za masomo zinazotolewa katika nyanja ya diplomasia na uhusiano wa kimataifa. Kituo  kinashiriki katika Maonesho ya Wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu yanayofanyika katika viwanja vya Sekondari ya Usagara Jijini Tanga  na yatahitimishwa  August 24, 2026.